Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.
Kian John Francis Egan (alizaliwa tarehe 29 Aprili 1980, Sligo, nchini Ireland) ni mwimbaji katika kundi la Westlife.
Maisha binafsi
Egan alizaliwa na Patricia pampja na.Ana kaka zake watatu ambao ni Tom, Gavin na Colm, na kaka zake watatu; Marielle, Vivienne na Fenella. Amesoma katika chuo cha Summerhill iliyopo katika eneo la Sligo, ambapo hapo alikutana na wenzake Mark Feehily and Shane Filan.
Egan alimuoa mwigizaji na mwimbaji Jodi Albert, tarehe 8 Mai 2009 huko Barbados.
Marejeo
Viungo vya nje
|
---|
|
Albamu | |
---|
Albamu za kushukuru na kuridiwa | |
---|
Albamu za Vibao Vikali | |
---|
Albamu za kompilesheni | No. 1 Hits and Rare Tracks (2000) • Released (2005) |
---|
Ziara za Live na DVD | |
---|
Muziki na Makala ya DVD | The Westlife Story • Flying Without Wings Karaoke • Coast To Coast - Up, Close and Personal • Uptown Girl • World Of Our Own • Unbreakable - The Greatest Hits Vol. 1 • Westlife - The Complete Story • Back Home • The Karaoke Collection |
---|
Tawasifu | Westlife - Our Story |
---|
Makala Zinazohusiana | |
---|